KARIBU TENE NDUGU MSOMAJI WA MAKALA ZETU KWENYE BLOG YAKO PENDWA YAMBINDA TECHNOLOGIES.
Leo tutaangalia namna ya kuandaa tutorial / srceen video kwa kutumia simu yako.
MAHITAJI
1: A - Z SCREEN RECORDING APP, KAMA HAUNA DOWNLOAD HAPA CHINI
2: SMARTPHONE YAKO
HATUA
1: Download app ya A - Z screen recorder kwa kubonyeza hapa chini
👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇
2: Baada ya kubonyeza hiyo link itakupeleka moja kwa moja playstore kisha install app yako kama hivi:-
3: Kisha bonyeza option ya accept kama hivi:-
4: Baada ya kuinstall tayari rubi kwenye screen yako na tafuta app ya A-Z SCREEN RECORDER itaonekana kama hivi:-
5: Baada ya hapo itafunguka kama ifuatavyo, kisha chagua option yarecord kama hivi:-
6: Baada ya hapo itakuja option ifuatayo, unachotakiwa kufanya ni kuweka alama ya tick kwenye kibox na kisha bonyeza option ya start now,kama hivi:-
7:Baada ya itakuja option kama ifuatayo, unachotakiwa kufanya ni kuikubali kama ifuatavyo:-
8: Baada ya hapo itaanza kurekodi mara tu baada ya kuhesabu kuanzia 3, 2, 1. Kama hivi
9: Baada ya kumaliza kurekodi ulichokua unarecord unachotakiwa kufanya ni ku scroll down screen yako na kustopisha recordings kama hivi:-
10: Baada ya hapo utaweza kuiona video yako kwa kufungua upande wa mafile na kutafuta file lililoandikwa AzRecorderFRee, kama hivi:
KUMBUKA SETTINGS NYINGINE UTAJIFUNZA KADRI SIKU ZINAVYOZIDI KWENDA.
*********** MWISHO ********
KWA MAONI NA USHAURI TAFADHALI USISITE KUTUTAFUTA KWA NAMBA 0767973853 Whatsapp / Telegram / sms / call au unaweza kutuandikia barua pepe kwendambinda74@gmail.com
AHSANTE!
== ADVERTISEMENT ==
TUNAPOKEA MATANGAZO YA BIASHARA MBALIMBALI NA KUYATANGAZA KATIKA KURASA ZETU ZINAZOSOMWA KWA WINGI HAPA NCHINI, TANGAZA BIASHARA YAKO LEO KWA BEI NAFUU KABISA YA Tsh 5000/= KWA WIKI. KWA MAWASILIANO TUPIGIE / SMS 0767973853 / mbinda74@gmail.com
0 comments:
Post a Comment